Thursday, 27 December 2018

Unai Emery aomba radhi kwa shabiki aliyempiga na chupa ya maji

Kocha wa Arsenal, Unai Emery amewaomba radhi mashabiki wa klabu  ya Brighton baada yakumpiga na chupa mmoja kati ya mashabiki wa timu hiyo kwenye mchezo uliyomalizika kwa sare ya bao 1- 1.
Unai Emery is pictured here walking towards the water bottle outside his technical area
Muhispania huyo aliipiga teke chupa ya maji na kumrukia mmoja wa mashabiki waliyokuwa uwanjani hapo na kuomba radhi muda huo huo kwa kitendo hicho.
The bottle connected with a member of the crowd after flying into the standsƂ 
Kwenye tukio hilo, Emery alionekana kwenda upande wa mashabiki na kumuomba radhi yule aliyoguswa na chupa hiyo.
The Arsenal manager apologised to Brighton fans after kicking a water bottle
Baada ya mchezo kocha huyo  alielezea kile kilichotokea ‘’Niliwaambia samahani, kwasababu nilipiga teke chupa iliyompata shabiki mmoja baada ya kuvunjika moyo kwa matokeo yalivyokuwa yanaonekana dakika za mwisho,’’ amesema Emery.
The Spaniard kicked a bottle into the stands and it hit one of the Brighton fans
Unai Emery ameongeza ‘’Haikuwa nzito, lakini ilimgusa mmoja kati ya mashabiki na niliwaomba radhi.’’
Emery's apology seemed to be well received as he made his way over after the game as well
Mesut Ozil aliingia kwenye kipindi cha pili lakini ameshindwa kuisaidia Arsenal kupata matokeo.

No comments:

Post a Comment