Matokeo Yanga vs Kariobangi Sharks leo
Klabu ya Yanga imetupwa nje ya Mashindano ya Sportpesa Supercup mara baada ya kufungwa kwa bao 3 kwa 2.
Yanga alifungwa bao 2 kwa sifuri kipindi cha Kwanza na Kisha kipindi cha Pili akafunga bao la Kwanza Kupitia kwa Amis Tambwe lakini baadaye K Sharks wakafunga bao la tatu.
Mwishoni mechi ikielekea kumalizika Yanga wakafunga bao la Pili kupitia kwa Heritier Makambo, Mpaka mwisho 3 kwa 2.
Klabu ya Yanga imetupwa nje ya Mashindano ya Sportpesa Supercup mara baada ya kufungwa kwa bao 3 kwa 2.
Yanga alifungwa bao 2 kwa sifuri kipindi cha Kwanza na Kisha kipindi cha Pili akafunga bao la Kwanza Kupitia kwa Amis Tambwe lakini baadaye K Sharks wakafunga bao la tatu.
Mwishoni mechi ikielekea kumalizika Yanga wakafunga bao la Pili kupitia kwa Heritier Makambo, Mpaka mwisho 3 kwa 2.
No comments:
Post a Comment