Thursday, 17 January 2019

Zahera asema ili Simba iwafunge Vita ni lazima wafanye haya

Zahera asema ili Simba iwafunge Vita ni lazima wafanye haya
Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Zahera Mwinyi ambaye ni raia wa Congo na anaijua vyema klabu ya AS Vita ametoa maoni yake kuelekea pambano kati ya Simba na AS Vita siku ya Jumamosi 19 January 2019 huko Kinshasa.
Zahera alisema ili Simba iweze kushinda ni lazima wacheze mchezo wa Kushambulia na siyo wa kujilinda kama kweli wanahitaji kupata matokeo.

Download ,Install App bora ya michezo

Zahera alisema Simba wanatakiwa waende wakiwa na akili ya kushambulia na kutafuta ushindi na siyo kuingia wakiwaza sare kwani wanawachezaji wazuri wanaoweza kuwapa matokeo.
Aliwashauri wacheze kama walivyocheza na timu ya Js Saoura kwa kushambulia muda wote wa mchezo ila wakienda tofauti na hapo basi wanaweza kuchezea kichapo

Download ,Install App bora ya michezo

No comments:

Post a Comment