Monday, 14 January 2019

Diamond Platnumz amtambulisha rasmi Tanasha kwa mama yake mzazi

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz jana Januari 13, 2019 amemtambulisha rasmi mchumba wake mpya Tanasha kwa mama yake mzazi.Kwenye utambulisho huo, Diamond aliwaalika pia ndugu, jamaa na marafiki zake. tukio lilifanyika nyumbani kwake Madale.

Download ,Install App bora ya Habari na michezo

No comments:

Post a Comment