Habari ya kusikitisha kutoka Yanga muda Huu.
Klabu ya Yanga kupitia ukurasa wake wa Instagram imetoa taarifa juu ya msiba wa BABA yake na Mchezaji Klaus Kindoki uliotokea huko Congo.
Taarifa hiyo inakuja ikiwa Yanga ilisafiri kwenda Shinyanga na makipa wawili tu Klaus Kindoki na Ibrahim Hamid
Taarifa ya Yanga imeeleza
Klabu ya Yanga kupitia ukurasa wake wa Instagram imetoa taarifa juu ya msiba wa BABA yake na Mchezaji Klaus Kindoki uliotokea huko Congo.
Taarifa hiyo inakuja ikiwa Yanga ilisafiri kwenda Shinyanga na makipa wawili tu Klaus Kindoki na Ibrahim Hamid
Taarifa ya Yanga imeeleza
No comments:
Post a Comment