Sunday, 13 January 2019

Matokeo Simba vs Azam Fainali Mapinduzi Cup 13 January 2019

Matokeo Simba vs Azam Fainali Mapinduzi Cup 13 January 2019
Matokeo ya Moja kwa moja mechi ya Fainali Mapinduzi Cup mwaka 2019 kutoka uwanja wa Gombani huko Kisiwani Pemba Zanzibar.
Mechi Imeanza
Simba 0 – 0 Azam Fc
Dakika ya 1 Simba wanapata Kona
Dakika ya 3 Simba wanafanya Shambulizi jingine zito Wadada anaokoa na kuwa kona.

Download ,Install App bora ya michezo

Dakika ya 4 Mo Ibrahim anapiga shuti nje ya 18 Razack Abarola anautoa na kuwa Kona, Simba wameanza kwa mashambulizi mfululizo.
Dakika ya 8 Azam Fc wanafanya Shambulizi lakini kipa Ally Salim wa Simba anasimama imara
Dakika 10
Azam Fc 0 – 0 Simba
Dakika ya 18 Azam Fc wanatengeneza nafasi nyingine nzuri wanashindwa kuitumia

Download ,Install App bora ya michezo

Dakika 20
Simba 0 – 0 Azam Fc
Dakika ya 21 Abdul SELEMAN anatengeneza nafasi nzuri lakini krosi yake inadakwa na Razak Abarola
Dakika ya 22 Enock Attah Agyei anajaribu shuti kali langoni mwa Simba kipa Ally Salim anautema na kuudaka mpira
Dakika ya 24 Tafadzwa Kutinyu anatoka anaingia Ramadhan Singano
Dakika 25
Simba 0 – 0 Azam Fc
Dakika la 30 Nicolas Wadada anajaribu shuti kali Ally Salim anaondoa na kuwa Kona.
Dakika ya 31 Obrey Chirwa najaribu shuti kali linambabatiza kipa na kuwa Kona
Kona 3 kwa 3 mpaka sasa timu zote zimeshapiga
Azam Fc wanafanya tena shambulizi la Kiume langoni mwa Simba Ramadhani Singano anawakosa kosa Simb

Download ,Install App bora ya michezo

 Smba 0 – 0 Azam Fc

Dakika ya 21 Abdul SELEMAN anatengeneza nafasi nzuri lakini krosi yake inadakwa na Razak Abarola
Dakika ya 22 Enock Attah Agyei anajaribu shuti kali langoni mwa Simba kipa Ally Salim anautema na kuudaka mpira
Dakika ya 24 Tafadzwa Kutinyu anatoka anaingia Ramadhan Singano
Dakika 25
Simba 0 – 0 Azam Fc
Dakika la 30 Nicolas Wadada anajaribu shuti kali Ally Salim anaondoa na kuwa Kona.
Dakika ya 31 Obrey Chirwa najaribu shuti kali linambabatiza kipa na kuwa Kona
Kona 3 kwa 3 mpaka sasa timu zote zimeshapiga
Azam Fc wanafanya tena shambulizi la Kiume langoni mwa Simba Ramadhani Singano anawakosa kosa Simba
Dakika ya 35 Shiza Kichuya anapiga pande ambalo linakosa mtu na kutoka nje , Goal Kick
Dakika ya 37 Enock Attah anapewa kdi ya Njano
Dakika 40
Simba 0 – 0 Azam Fc
Dakika ya 41 Abdul SELEMAN wa Simba anajaribu shuti kali langoni mwa Azam Fc kipa anautema na Kuudaka tena
Goaaaaaaaaaaal dakika YA 44 Mudathir Yahya anaipatia Azam fc bao la kuongoza kwa shuti kaliiii
Simba 0 – 1 Azam fc
Dakika 45 Addul seleman anakosa nafasi ya wazi

HALF TIME

Simba 0 – 1 Azam Fc
KIPINDI CHA PILI
Kimeanza
Azam Fc wanaanza kwa shambulizi na Kupata Kona
Dakika ya 51 Simba wanaonekana kutulia na kuanza kucheza mpira wa Kutulia
Dakika ya 52 Obrey Chirwa anawekewa pasi sukari na Enock Attah Lakini anamalizia kwa kupaisha juu ya LANGO
Dakika ya 55
Simba 0 – 1 Azam Fc
Dakika ya 61 Simba wanatengeneza Shambulizi lakini majalo ya Asante Kwasi inakuwa si kitu kwa kipa Razack Abarola
Goaaaaal Yusuph Mlipili dakika ya 63 anasawazisha bao kwa Simba, Mlipili anajitwisha Kichwa na Kusawazisha
Simba 1 – 1 Azam Fc
Dakika 70
Simba 1 – 1 Azam Fc
Goaaaaaal dakika ya 72 Obrey Chirwa anaitanguliza Azam Fc kwa kuifungia bao la Pili
Simba 1 – 2 Azam fc
Dakika 80
Simba 1 – 2 Azam Fc
Dakika ya 85
Simba 1 – 2 Azam Fc

FULL TIME

Simba 1 – 2 Azam Fc

No comments:

Post a Comment