Ratiba Mapinduzi Cup leo 7 January 2019
Leo michuano ya mapinduzi inayoendelea huko visiwani Zanzibar kutakuwa na mechi 2 ambazo zitachezwa uwanja wa Aman ambapo Azam Fc itacheza na KVZ mechi ya mapema
Wakati Yanga ikicheza na Malindi Fc katika mchezo wa pili utakaoanza saa mbili na robo usiku.
Leo michuano ya mapinduzi inayoendelea huko visiwani Zanzibar kutakuwa na mechi 2 ambazo zitachezwa uwanja wa Aman ambapo Azam Fc itacheza na KVZ mechi ya mapema
Wakati Yanga ikicheza na Malindi Fc katika mchezo wa pili utakaoanza saa mbili na robo usiku.
07/01/2019 | saa 10:15 | Uwanja wa Amaan | Azam FC VS KVZ (Kundi B) |
07/01/2019 | saa 2:15 | Uwanja wa Amaan | Yanga VS Malindi (Kundi B)Install App bora ya michezo |
No comments:
Post a Comment