Friday, 4 January 2019

Breaking News : Zahera amvua unahodha Yondani na kumpa huyu

Breaking News : Zahera amvua unahodha Yondani na kumpa huyu

Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amemvua kitambaa cha unahodha beki Kelvin Yondani na kumteua Ibrahim Ajibu kuchukua nafasi hiyo kwa madai kuwa Yondani alichelewa kuripoti mazoezini baada ya siku tano za mapumziko walizopewa kumalizika.

No comments:

Post a Comment