Tetesi za usajili ulaya 2 January 2019
Inter Milan wanamnyatia beki kamili wa Manchester United Ashley Young, 33, na wanatumai kwamba wataweza kumchukua bila kulipa ada yoyote mwisho wa msimu baada ya mkataba wake kumalizika. (Mirror)
Meneja Unai Emery amesema Arsenal bado hawajazungumzia uwezekano wa kumnunua beki wa kati wa Chelsea Gary Cahill, 33, Januari. (Football.London)
Lakini meneja wa Fulham Claudio Ranieri amekuwa wakimtaka Cahill akitumai kumtumia kuimarisha safu yake ya ulinzi Craven Cottage. Anamtaka kwa mkopo wa miezi sita. (The Sun)
Emery amefahamishwa kwamba Arsenal hawataunga mkono mpango wake wa kutaka kuwarejesha Calum Chambers, 23, na Reiss Nelson, 19, mwezi huu. Wawili hao wako nje kwa mkopo. (Metro)
Chelsea wanakariiba sana kukamilisha usajili wa kiungo wa kati Mmarekani Christian Pulisic, 20, kwa £45m kutoka Borussia Dortmund. (Express)
Monaco wanapanga kukamilisha ununuzi wa kiungo wa kati wa Chelsea Cesc Fabregas, 31, mwezi huu wa Januari, hatua ambayo itamkutanisha na mchezaji mwenzake wa zamani Arsenal Thierry Henry ambaye sasa ni meneja. (Daily Mail)
Mkufunzi mkuu wa Chelsea Maurizio Sarri amesisitiza kwamba hahitaji kununua mshambuliaji mwingine Januari hata kama jeraha la kifundo cha mguu linalomtatiza Olivier Giroud litazidi. (ESPN)
West Ham wanapanga kumchukua kwa mkopo kiungo wa kati wa Everton James McCarthy, 28, kama sehemu ya mpango wao wa kuimarisha kikosi chao Januari. (Daily Mail)
Mshambuliaji wa Chelsea Tammy Abraham, 21, hataki kuitwa arejee katika klabu hiyo kwa sababu anafurahia maisha yake kwa Aston Villa kwa mkopo, anasema meneja Dean Smith. (Sky Sports)
Lakini Wolves wanaongoza kinyang’anyiro cha kutaka saini ya Abraham, ambaye amewafungia Villa mabao 16 msimu huu. (Daily Mail)
Tottenham wako radhi kumtuma George-Kevin Nkoudou, 23, nje kwa mkopo Januari. (Footmercato)
Inter Milan wanamnyatia beki kamili wa Manchester United Ashley Young, 33, na wanatumai kwamba wataweza kumchukua bila kulipa ada yoyote mwisho wa msimu baada ya mkataba wake kumalizika. (Mirror)
Meneja Unai Emery amesema Arsenal bado hawajazungumzia uwezekano wa kumnunua beki wa kati wa Chelsea Gary Cahill, 33, Januari. (Football.London)
Lakini meneja wa Fulham Claudio Ranieri amekuwa wakimtaka Cahill akitumai kumtumia kuimarisha safu yake ya ulinzi Craven Cottage. Anamtaka kwa mkopo wa miezi sita. (The Sun)
Emery amefahamishwa kwamba Arsenal hawataunga mkono mpango wake wa kutaka kuwarejesha Calum Chambers, 23, na Reiss Nelson, 19, mwezi huu. Wawili hao wako nje kwa mkopo. (Metro)
Chelsea wanakariiba sana kukamilisha usajili wa kiungo wa kati Mmarekani Christian Pulisic, 20, kwa £45m kutoka Borussia Dortmund. (Express)
Monaco wanapanga kukamilisha ununuzi wa kiungo wa kati wa Chelsea Cesc Fabregas, 31, mwezi huu wa Januari, hatua ambayo itamkutanisha na mchezaji mwenzake wa zamani Arsenal Thierry Henry ambaye sasa ni meneja. (Daily Mail)
Mkufunzi mkuu wa Chelsea Maurizio Sarri amesisitiza kwamba hahitaji kununua mshambuliaji mwingine Januari hata kama jeraha la kifundo cha mguu linalomtatiza Olivier Giroud litazidi. (ESPN)
West Ham wanapanga kumchukua kwa mkopo kiungo wa kati wa Everton James McCarthy, 28, kama sehemu ya mpango wao wa kuimarisha kikosi chao Januari. (Daily Mail)
Mshambuliaji wa Chelsea Tammy Abraham, 21, hataki kuitwa arejee katika klabu hiyo kwa sababu anafurahia maisha yake kwa Aston Villa kwa mkopo, anasema meneja Dean Smith. (Sky Sports)
Lakini Wolves wanaongoza kinyang’anyiro cha kutaka saini ya Abraham, ambaye amewafungia Villa mabao 16 msimu huu. (Daily Mail)
Tottenham wako radhi kumtuma George-Kevin Nkoudou, 23, nje kwa mkopo Januari. (Footmercato)
No comments:
Post a Comment