Tuesday, 25 December 2018

Basi la mwendo kasi lawaka moto Ubungo

Moja kati ya mabasi ya mwendo kasi limewaka moto katika moja ya Injini zake maeneo ya Ubungo kituo cha Ubungo Maji, hata hivyo zimamoto walitokea na kufanya shukhuli za uzimaji.

No comments:

Post a Comment